Unknown Unknown Author
Title: KIGOMA: Polisi imewatia mbaroni watu 5 kwa Vyeti Bandia
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
KIGOMA: Polisi imewatia mbaroni watu 5 kwa tuhuma za kutengeneza vyeti bandia vya kitaaluma, miongoni mwake vikiwemo 90 vya uuguzi, ambav...

KIGOMA: Polisi imewatia mbaroni watu 5 kwa tuhuma za kutengeneza vyeti bandia vya kitaaluma, miongoni mwake vikiwemo 90 vya uuguzi, ambavyo vilikutwa vikisubiri kugawiwa kwa wahusika.

- Pamoja na vyeti hivyo vya uuguzi vilivyokamatwa, pia katika operesheni hiyo walikamata vyeti 37 vya wataalamu wa maabara na vyeti tisa vya ufamasia.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top